Matokeo ya Kidato cha Nne 2014 Yametoka rasmi: Shule ya Sekondari ya Kaizirege ya Mkoani Kagera yaongoza (FORM FOUR 2014 EXAMINATION RESULTS ARE OUT)



UTARATIBU WAKUTUNUKU MATOKEO YAMTIHANI WAKIDATO CHANNE NACHASITA KWA KUTUMIA MFUMO WA GPA
1. Mfumo wa Wastani wa Pointi (Grade Point Average - GPA)
• Huonesha wastani wa pointi alizopata mtahiniwa katika masomo aliyofaulu katika mtihani wake.
• GPA hutokana na masomo saba (07) aliyofaulu vizuri zaidi mtahiniwa katika Mtihani wa Kidato cha Nne na masomo matatu
(03) ya tahasusi katika Mtihani wa Kidato cha Sita. Mtahiniwa aliyefanya masomo pungufu ya 07 kwa CSEE au pungufu ya 03
kwa ACSEE, atafaulu  katika kiwango cha “Pass” endapo atapata angalau Gredi D katika masomo mawili au gredi C, B, B+ au A
katika somo moja

DISTINCTION MERIT CREDIT PASS FAIL
GPA 3.6 - 5.0 2.6 - 3.5 1.6 - 2.5 0.3 - 1.5 0.0 - 0.2

http://41.188.155.122/csee/matokeo/csee/2014/CSEE%202014%5Cs1196.htm


Please Select Embedded Mode To Show The Comment System.*

Previous Post Next Post